Friday, August 31, 2012

Wakimbiza Mwenge Kiwilaya Bunda mwaka 2012 pichani

 Hawa ni vijana wanne waliokuwa wakikimbiza mwenge Kiwilaya ,wilayani Bunda  wakiwa katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya Bunda Muda mchache kabla ya kushiriki mbio hizo -picha na Berensi Alikadi.

No comments:

Post a Comment

Comments System

disqus

Disqus Shortname

msora

Popular Posts

Header Ads

ad