Friday, August 31, 2012

Wanaharakati wa haki za binadamu wakiwa pichani mjini Shinyanga

 Hawa ni baadhi ya wanaharakati wa haki za binadamu ambao walishiriki katika mkutano wa waangalizi wa haki za binadamu ulioandaliwa na kituo cha sheria na haki za binadamu ,mkutano uliofanyika katika hotel ya Karena iliyoko mjini Shinyanga .picha na Belensi China

No comments:

Post a Comment

Comments System

disqus

Disqus Shortname

msora

Popular Posts

Header Ads

ad