HUYU NDIYE MUUAJI MKUU KAMUHANDA. AMEDHIRISHA KUWA KAZI YAKE KUBWA SIYO KULINDA RAIA BALI KUUA KILA ALIYE KINYUME NA MATAKWA YA VIONGOZI JAMBAZI. Mtu wa namna hii unaweza kuelewa atakuwa ameua watu wengi kiasi gani mpaka kufikia cheo hicho. Mwuuaji hata ukampa cheo kikubwa kiasi gani, hamu ya kuondoa uhai wa binadamu wenzake haiondoki. Siyo vema kumwombea au kumtakia kifo binadamu mwenzio lakini ni ukweli ulio wazi kuwa japo hatutathubutu kuinua mikono yetu kumwua Kamuhanda, lakini kwa mauaji anayoyasimamia kwa makusudi, ni heri kwetu Muumba wetu angewatanguliza hawa kwanza ili Tanzania pawe mahali salama pa kuishi watu wote, wanyinge na wenye nguvu. Mwuumba wetu, hatutaki kuingilia kazi yako, lakini ukiona inafaa uwaondoe wauaji wa makusudi katika nchi yetu ili na wanyonge wapate kuishi kadiri ya ulivyowapangia.
Monday, September 3, 2012
Mahojiano ya Mwandishi Daud Mwangosi na kamanda Kamuhanda muda mfupi kabla ya kifo chake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Comments System
disqus
Disqus Shortname
msora
Popular Posts
-
SABABU RASMI ZA MGAWANYIKO WA WENGE MUSICA BCBG 4X4 TOUT TERRAIN NA MIAKA MITATU YA MWANZO YA BCBG NA MAISON MERRE – (Sehemu...
-
Huha Makuja Nyungi (kushoto), akiwa anaelekea mahakamani muda mfupi kabla ya kusomewa hukumu hiyo. Kulia ni mtuhumiwa mwingine katika ke...
-
Mwezeshaji wa mada ya kwanza kuhusu umuhimu wa TIKA, ndugu Derick Ndetabula akitoa mada kwa washirik.
Header Ads

No comments:
Post a Comment