Sunday, May 18, 2014

Mkurugenzi wa halimashauri ya wilaya ya Maswa akimshukuru meneja wa kanda ya mashariki wabenki ya Nmb,Agustino Abraham mara baada ya kukabidhi madawati 64 yenye thamani ya shilingi milion 5kwa shule za msingi kata ya Malampaka wilayani Maswa.

No comments:

Post a Comment

Comments System

disqus

Disqus Shortname

msora

Popular Posts

Header Ads

ad