Sunday, May 18, 2014

viongozi wa chama cha mapinduzi wilaya ya Baraidi wakitoa heshima katika kaburi la mwanamke mlemavu wa ngozi alibino ,Munghu Lugata aliyekuwa mkazi wa kijiji cha Gasuma wilayani Bariadi mkoani Simiyu ambaye aliuwawa Mei 12 majira ya saa sita usiku na kicha kuondoka na viungo vyake.

No comments:

Post a Comment

Comments System

disqus

Disqus Shortname

msora

Popular Posts

Header Ads

ad