Hivi karibuni, Mtandao wa Mabalozi wa Usalama Barabarani (RSA Tanzania), uliadhimisha siku ya mabalozi wa usalama barabarani mwaka 2017, ambapo katika maadhimisho hayo, mbali ya uelimishaji wa abiria katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani tokea mjini Dodoma, maandamano na hotuba mbalimbali, pia michezo na burudani mbalimbali zilipamba maadhimisho hayo, kama inavyoonekana katika video zifuatazo.
Mmoja wa mabalozi wa Usalama Barabarani,ambaye pia ni msanii, akitumbuiza wakati wa maadhimisho hayo
Mbali ya shughuli za uelimishaji, siku hiyo ilihitimishwa na michezo kadhaa, ukiwemo huu wa kukimbiza kuku.
No comments:
Post a Comment