Friday, June 5, 2015

mkutano wa NSSF Arusha

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori akimpatia maelekezo, MC wa Mkutano wa tano wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Sauda Simba wakati wa Mkutano huo unaonedelea leo, kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment

Comments System

disqus

Disqus Shortname

msora

Popular Posts

Header Ads

ad