Sunday, September 30, 2012

Mbunge Bulaya akitunuku cheti kwa wahitimu wa kidato cha nne

Mbunge wa viti maalumu vijana ccm mkoa wa Mara Ester Bulaya kulia akimkabidhi cheti mwanafunzi Penina Wayoga ambaye aliibuka kidedea mwanafunzi bora katika mahafari ya kwanza ya shule hiyo ya waschana ya Mkwezi iliyopo wilayani Bunda .jana picha na Berensi Alikadi .

No comments:

Post a Comment

Comments System

disqus

Disqus Shortname

msora

Popular Posts

Header Ads

ad