Sunday, September 23, 2012

Mbunge wa Somalia auwawa Mogadishu


Watu waliokuwa na silaha wamempiga risasi na kumuuwa mbunge wa baraza jipya mjini Mogadishu, Somalia.
Bunge la Somalia
Mbunge Mustaf Haji Mohamed alipigwa risasi wakati akitoka msikitini.
Bwana Mustaf Haji Mohamed ni mbunge wa kwanza kulengwa tangu bunge jipya rasmi kuchaguliwa mwezi Agosti.
Walioshuhudia tukio hilo wanasema mbunge huyo alipigwa risasi kadha.

Chanzo BBC

No comments:

Post a Comment

Comments System

disqus

Disqus Shortname

msora

Popular Posts

Header Ads

ad