Monday, April 27, 2015
MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA,JIJINI DAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho
Kikwete, akipunga mkono kuwasalimia wananchi wakati alipokuwa akiwasili kwenye
Uwanja wa Uhuru, Jijini Dar es salaam, leo
kuhudhuria Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na
Zanzibar. Kushoto ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis
Mwamunyange
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akienelea kuwapungia mkono
kwa furaha kuwasalimia wananchi
Rais wa Zanzibar Dkt
Ali Mohamed Shein, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, wakiwa na Viongozi wengine wakisimama kutoa heshima
wakati ikipigwa mizinga 21, uwanjani hapo.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Comments System
disqus
Disqus Shortname
msora
Popular Posts
-
SABABU RASMI ZA MGAWANYIKO WA WENGE MUSICA BCBG 4X4 TOUT TERRAIN NA MIAKA MITATU YA MWANZO YA BCBG NA MAISON MERRE – (Sehemu...
-
Huha Makuja Nyungi (kushoto), akiwa anaelekea mahakamani muda mfupi kabla ya kusomewa hukumu hiyo. Kulia ni mtuhumiwa mwingine katika ke...
-
Mwezeshaji wa mada ya kwanza kuhusu umuhimu wa TIKA, ndugu Derick Ndetabula akitoa mada kwa washirik.
Header Ads
