Wednesday, September 16, 2015

Wanakoishi matajiri wakubwa wa Kiafrika


Afrika Kusini

Nchi ya Kiafrika iliyo na idadi kubwa kabisa ya mamilionea ni Afrika Kusini. Kuna matajiri wa hali ya juu 46,800 wanoishi baina ya miji ya Cape Town na Johannesburg - na bado wanatarajiwa kuengezeka. Ikilinganishwa idadi hiyo na barani Ulaya, nchini Uingereza kwa sasa kuna mamilionea 840,000.
Aerial view of Cape Town, South Africa. Photo: EPA/JON HRUSA

No comments:

Post a Comment

Comments System

disqus

Disqus Shortname

msora

Popular Posts

Header Ads

ad