Asasi inayojihusisha na harakati za utunzaji wa rasilimali za utalii nchini ya Serengeti Wildlife & Nature Conservation, yenye makao yake makuu mkoani Simiyu, hivi karibuni ilipokea ugeni wa wadau wake toka nchi kadhaa za barani Ulaya, ambapo pamoja na kutaka kujua shighuli zinazofanywa na asasi hiyo, wageni hao pia waliweza kutembezwa katika hifadhi ya Serrengeti, na kujionea vivutio kadhaa vya utalii hifadhini humo.
Pichani, ni wadau hao walipokuwa wameongozana na mwenyekiti wa asasi ya Serengeti Wildlife & Nature Conservation, ambaye pia ni mmiliki wa blogi hii, wakati wa ziara hiyo fupi.
No comments:
Post a Comment