Sunday, July 30, 2017

Ukataji miti wazidi kushamiri pori la Maswa

Vitendo vinavyoweza kutafsiriwa kama ni kuhujumu ustawi wa misitu muhimu kwa ustawi wa sekta ya utalii nchini, vimeendelea kukithiri hususan ukataji miti, ambao umekuwa ukifanywa na watu mbalimbali katika misitu mbalimbali nchini, likiwemo pori tengefu la Maswa. 

Hivi karibuni, kamera ya Serengeti Wildilife & Nature Conversation, ilitembelea pori hilo, na kushuhudia miti iliyokatwa na wananchi hao wasio na nia njema kama picha zinavyoonekana. 




Baadhi ya miti iliyokutwa imekatwa wakati wa ziara hiyo fupi ya kikazi.

Askari wa pori hilo, ambao wameelezea kusikitishwa na vitendo vua ukataji huo wa miti ambavyo vimekuwa vikifanywa kwa ujanja mkubwa katika kuwakwepa askari wanaolinda pori hilo






No comments:

Post a Comment

Comments System

disqus

Disqus Shortname

msora

Popular Posts

Header Ads

ad