Thursday, August 3, 2017

IGP Sirro, atembelea Ubungo kujionea huduma za usafirishaji

Hivi karibuni, Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro, alitembelea kituo cha mabasi yaendayo mikoani kutokea jijini Dar es Salaam, Ubungo kwa ajili ya kujionea namna gani huduma za usafirishaji wa abiria zinaendeshwa kituoni hapo.

Hapa ni alichokisema IGP Sirro, baada ya ziara hiyo ambayo ilivuta hisia za abiria wengi waliokuwa kituoni hapo siku hiyo ya tukio

No comments:

Post a Comment

Comments System

disqus

Disqus Shortname

msora

Popular Posts

Header Ads

ad