Hivi karibuni, Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro, alitembelea kituo cha mabasi yaendayo mikoani kutokea jijini Dar es Salaam, Ubungo kwa ajili ya kujionea namna gani huduma za usafirishaji wa abiria zinaendeshwa kituoni hapo.
Hapa ni alichokisema IGP Sirro, baada ya ziara hiyo ambayo ilivuta hisia za abiria wengi waliokuwa kituoni hapo siku hiyo ya tukio
Hapa ni alichokisema IGP Sirro, baada ya ziara hiyo ambayo ilivuta hisia za abiria wengi waliokuwa kituoni hapo siku hiyo ya tukio
No comments:
Post a Comment