Saturday, August 5, 2017

VIDEO: wavamia msafara wa rais Magufuli, wakitaka aongee nao

Mwishoni mwa wiki hii, rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli, akishirikiana na mwenzake wa Uganda, Yoweri Museveni, walizindua ujenzi wa bomba la mafuta ghafi, litakalojengwa kutokea Hoima nchini Uganda hadi kijiji cha Chongoleani, mkoani Tanga. 

Hata hivyo, akiwa njiani kuelekea Tanga kuhudhuria tukio hilo kubwa, rais Magufuli, alilazimika kusimama njiani baada ya wananchi kuusimamisha msafara wake, wakitaka aongee nao, jambo ambalo alilitekeleza, kama inavyoonekana katika video hii

No comments:

Post a Comment

Comments System

disqus

Disqus Shortname

msora

Popular Posts

Header Ads

ad