Wednesday, November 10, 2010

SAFARI YA KUTEMBELEA MIGODI YA BARRICK.

Safari ya kuelekea Bulyanhuru kwa ajili ya kutembelea mgodi ilianzia Mwanza saa 1:00. Fuatana nami katika picha hizi ili ujunze mambo kadhaa katika migodi ya Tanzania inayomilikiwa na kampuni ya African Barrick Gold.
Moja ya miradi inayofadhiliwa na mgodi wa Turawaka Wilayani Biharamulo.


Haya ni baadhi ya mashimo inakochimbwa dhahabu chini ya ardhi katika mgodi wa Turawaka.





Hawa ni wachimbaji wa Kitanzania maalufu kama Intruders wakiokota mawe ya mabaki ya dhahabu katika pembezoni mwa mgodi wa North Mara ulioko Tarime.



Magari ya mgodi wa North Mara (Tarime) yanayotumiwa na walinzi yakiwa yamepigwa mawe na wamachinga wa dhahabu.




Mojawapo ya mashine kubwa inayotumika kubeba mchanga wa dhahabu kutoka shimoni na kupeleka eneo la kusafishia.


Hii ndio sehemu ambayo dhahabu husafishwa na kupakiwa kwa ajili ya kupelekwa kwa wanaojua matumizi yake






Haya ndio maji yanayosadikiwa kuwa na sumu ambayo awali yalikuwa yanatiririka kuelekea mto Tigite huko Tarime

No comments:

Post a Comment

Comments System

disqus

Disqus Shortname

msora

Popular Posts

Header Ads

ad