Safari ya kuelekea Bulyanhuru kwa ajili ya kutembelea mgodi ilianzia Mwanza saa 1:00. Fuatana nami katika picha hizi ili ujunze mambo kadhaa katika migodi ya Tanzania inayomilikiwa na kampuni ya African Barrick Gold.
Moja ya miradi inayofadhiliwa na mgodi wa Turawaka Wilayani Biharamulo.
Haya ni baadhi ya mashimo inakochimbwa dhahabu chini ya ardhi katika mgodi wa Turawaka.
Hawa ni wachimbaji wa Kitanzania maalufu kama Intruders wakiokota mawe ya mabaki ya dhahabu katika pembezoni mwa mgodi wa North Mara ulioko Tarime.
Magari ya mgodi wa North Mara (Tarime) yanayotumiwa na walinzi yakiwa yamepigwa mawe na wamachinga wa dhahabu.
Mojawapo ya mashine kubwa inayotumika kubeba mchanga wa dhahabu kutoka shimoni na kupeleka eneo la kusafishia.
Hii ndio sehemu ambayo dhahabu husafishwa na kupakiwa kwa ajili ya kupelekwa kwa wanaojua matumizi yake
Haya ndio maji yanayosadikiwa kuwa na sumu ambayo awali yalikuwa yanatiririka kuelekea mto Tigite huko Tarime
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Comments System
disqus
Disqus Shortname
msora
Popular Posts
-
SABABU RASMI ZA MGAWANYIKO WA WENGE MUSICA BCBG 4X4 TOUT TERRAIN NA MIAKA MITATU YA MWANZO YA BCBG NA MAISON MERRE – (Sehemu...
-
Huha Makuja Nyungi (kushoto), akiwa anaelekea mahakamani muda mfupi kabla ya kusomewa hukumu hiyo. Kulia ni mtuhumiwa mwingine katika ke...
-
Mwezeshaji wa mada ya kwanza kuhusu umuhimu wa TIKA, ndugu Derick Ndetabula akitoa mada kwa washirik.
Header Ads

No comments:
Post a Comment