Tuesday, August 28, 2012

Rais wa Sryiria atakiwa kuachia madaraka

Rais w Syria atakiwa kuachia madaraka.

Tunis - Tunisia - 31/07/2012.Waziri wa ulinzi wa Marekani amemtaka rais wa Syria kuachia madaraka kama anataka kuilinda familia yake.
Leon Panetta alisema " Marekani na jumuiya ya kimataifa hawatavumilia, na inabidi Asad atoke madarakani kwa kuiokoa nchi yake."
"Pia hatutafanya makosa kama tuliyo yafanya nchini Irak, na nia yetu n kuleta amani na uimara wa eneo zima kwa ujumla."
Agizo la waziri Panetta liomekuja wakati akiwa ziarani nchini Tunisia na huku vita kati ya jeshi la serikali la Syria lililo chini ya rais Asad linapambana vikali na jeshi la upinza linalo pata misaada toka nchi za nje.

No comments:

Post a Comment

Comments System

disqus

Disqus Shortname

msora

Popular Posts

Header Ads

ad