Tuesday, September 19, 2017
NGO'MBE 345 WAPIGWA MNADA MEATU
Na Berensichina,sept
17,2017,ngombe 345 wapigwa mnada,
hakimu mkazi
mwandamizi mfawidhi wa mahakama ya mkoa wa simiyu john nkwabi ameamuru
kutaifishwa na kipigwa mnada jumla ya
ngombe 345 waliokamatwa wakichunga katika pori la akiba la maswa kinyume
cha sheria ya wanyamapori
akizungumza
mara baada ya kumalizika kwa mnada huo uliofanyika wilayani meatu meneja wa
pori la akiba la maswa lusato masinde amesema wameamua kuuza mifugo hiyo baada
ya mahakama kutoa amri kulingana na
sheria ya wanyama pori namba 5,2009 kifungu cha 111.
aidha meneja
huyo amewaonya wafugaji ambao watakaidi agizo la mhe.rais la kuondoa mifugo yao
kwa hiyari na kuacha kuchungia katika pori hilo
kwani msako wa kukamata mifugo hiyo ni endelevu na mifugo itakayokamatwa
itaendelea kutaifishwa kwa mjibu wa sheria
kwa upande
wake darali aliyesimamia zoezi la kuuza ngo’mbe hao kutoka kampuni ya abajaja
christopher kabenga amewataka wanunuzi wote kuhakikisha wanatembea na
stakabadhi halisi waliyopewa wakati watakapo kuwa wanasafirisha mifugo hiyo ili
kuepuka usumbufu njianii
RPC MARA AHIDI USHIRIKIANO NA ASKARI WA SERENGETI
na Berensichina,bunda,sept20,2017,Rpc
Mara ahidi ushirikiano na askari wa hifadhi ya Serengeti.
kamanda wa
polisi mkoa wa mara kamishina msaidizi wa polisi jafari mohamed amesema jeshi
la polisi mkoani mara litahakikisha linashilikiana na askari wa hifadhi ya
taifa ya serengeti katika kuhakikisha wanakomesha vitengo vya ujangili katika
hifadhi hiyo,
kamanda
jafari ameyasema hayo mara baada ya kumalizika kwa kikao kazi kilichofanyika
wilayani bunda ambacho kimewahusha wahifadhi toka hifadhi ya taifa ya serengeti
waendesha mashitaka wakuu wavitengo vya
ulinzi wa wanyamapori na ofisi ya mwandesha mashitaka mkoa wa mara lengo likiwa
ni kuweka mkakati namna ya kupambana na ujangili,
akizungumza
kwa niaba ya wahifadhi wa hifadhi hiyo,mhifadhi emanuel matungwa amesema
changamoto ya ujangili katika hifadhi hiyo ni kubwa kwani kila kukicha
majangili wanabuni mbinu mpya hivyo jitihada za pamoja zinahitajika katika
kupambana na vitendo hivyo,
kwa upande
wake wakili wa serikali mwandamizi toka
wa mkoani mara anisus kahindura,amesema ofisi yake imejipanga ili
kuhakikisha kesi za nyara zinamalizika mapema ili kuondoa msongamano wa kesi
hizo mahakamani
Subscribe to:
Posts (Atom)
Comments System
disqus
Disqus Shortname
msora
Popular Posts
-
SABABU RASMI ZA MGAWANYIKO WA WENGE MUSICA BCBG 4X4 TOUT TERRAIN NA MIAKA MITATU YA MWANZO YA BCBG NA MAISON MERRE – (Sehemu...
-
Huha Makuja Nyungi (kushoto), akiwa anaelekea mahakamani muda mfupi kabla ya kusomewa hukumu hiyo. Kulia ni mtuhumiwa mwingine katika ke...
-
Mwezeshaji wa mada ya kwanza kuhusu umuhimu wa TIKA, ndugu Derick Ndetabula akitoa mada kwa washirik.
Header Ads
